Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mhe. Rais Paul Kagame wa Rwanda Ikulu Kigali Nchini Rwanda leo Agosti 02,2021. Mhe. Rais Samia ameanza ziara ya Kiserikali ya siku mbili Nchini Rwanda kwa mwaliko wa Rais Kagame. IKULU.
Elimu : Uwekazaji wa Samia Kwenye Sayansi Kuendelea, Wanafunzi 16 Kusomea
Dat Science na AI Afrika Kusini
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza utekelezaji
kwa vitendo wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassa...
1 hour ago

0 Comments