Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zubeir Ali Maulid akisalimiana na Balozi wa kutangaza utalii ambae pia ni mshabiki wa timu ya Taifa Stars Nicholas Reynolds [Bongo Zozo] wakati alipofika Baraza la wawakilishi Chukwani kufuatia mualiko wa mhe Suleiman Makame Ali Mwakilishi wa jimbo la Ziwani.
WIZARA YA FEDHA :WATAALAM WA UNUNUZI ZINGATIENI DIRA YA MAENDELEO YA 2050
-
Na Vero Ignatus, Arusha
WIZARA ya Fedha imewataka wataalamu wa Ununuzi na Ugavi kutekeleza majukumu
yao kwa kuzingatia Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 i...
46 minutes ago
0 Comments