Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said (katikati) akizungumza baada ya utiaji wa saini ya Hati ya makubaliano na Mkurugenzi wa Qatar Fund For Development Bw.Khalifa Al Kuwari (kulia kwake) na (kushoto kwake) Balozi wa Tanzania Nchini Qatar Mhe. Balozi Mahadhi Juma Maalim, kuwawezesha kuwarejesha Skuli wanafunzi walioacha kuhudhuria masomo katika Skuli za Zanzibar.
NGORONGORO YATANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KWA WASHIRIKI WA ROMBO MARATHON.
-
Na Mwandishi Wetu, Rombo.
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeshiriki katika tamasha la _Rombo
_Marathon_ lililofanyika leo tarehe 23 Desemba 202...
24 minutes ago
0 Comments