Makamo wa Pili wa Rais mhe Hemed Suleiman Abdulla akiakhirisha mkutano wa tano wa Baraza la kumi la Wawakilishi. Baraza la Wawakilishi limeakhirishwa hadi siku ya jumatano tarehe 16 februari 2022 saa tatu kamil;i asubuhi
KAMATI YA BUNGE YA SHERIA YATEMBELEA KONGANI YA BUZWAGI NA KUPONGEZA
BARRICK KWA KUFUNGA MGODI KITAALAMU
-
Wabunge kutoka Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria
wakitembelea maeneo mbalimbali walipofanya ziara ya kikazi ya kujionea
maendeleo ya ...
35 minutes ago
0 Comments