Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais mhe Dkt Sada Mkuya Salum akiwasilisha Mswada wa Sheria ya kuanzisha Mamlaka ya kupambana na Dawa za Kulevya, kazi, Majukumu yake na mambo mengine yanayohusiana na hayo katika Mkutano wa Tano wa Baraza la kumi la Wawakilishi .
Mwenyekiti wa Kamati ya kusimamia Ofisi za Viongozi wakuu wa Kitaifa mhe Hassan Khamis Hafidh akisoma hotuba ya kamati kuhusu Mswada wa Sheria ya kuanzisha Mamlaka ya kupambana na Dawa za Kulevya, kazi, Majukumu yake na mambo mengine yanayohusiana na hayo katika Mkutano wa Tano wa Baraza la kumi la Wawakilishi
TARI Naliendele yashauri wakulima wa korosho kufuata hatua hizi kuleta tija
uzalishaji wa korosho nchini
-
Na Anne Robi, Mtwara
WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wamewaasa wakulima kuanza kuandaa
mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu na muhimu katika kul...
3 hours ago
0 Comments