Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi Wakuu wa Mataifa mbalimbali Duniani wakishiriki katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya na Umoja wa Afrika (EU-AU Summit) leo tarehe 17 Februari, 2022 Brussels nchini Ubelgiji.
SERIKALI YATAKA WANANCHI WAELIMISHWE KUHUSU ULINZI WA TAARIFA BINAFSI
-
Na Mwandishi Wetu, WMTH-Dodoma
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa
Kairuki (Mb), tarehe 15 Disemba 2025 amefan...
1 hour ago
0 Comments