Innallilahi Waina ilayhi Rajiuun. Mfanyakazi mwenzetu Ndg Jabir Ahmed Maulid wa Idara ya Diaspora amefariki jana jioni na maziko yake yatafanyika leo 27-3-2022 baada ya sala ya Adhuhuri Msikiti wa Mtendeni Wilaya ya Mjini Unguja na kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Unguja.
IBKI ENTERPRISES YAZINDUA DUKA LA KISASA LA BIDHAA ZA HAIER UBUNGO
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KAMPUNI ya Usambazaji na Uuzaji wa Bidhaa za Haier, IBKI Enterprises Ltd,
imezindua duka la kisasa la uuzaji wa bidhaa za k...
1 hour ago

0 Comments