Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo (kulia) akimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar) Dkt. Abdallah Juma Saadalla (Mabodi) mara baada ya kufika nyumbani kwake Chukwani,Unguja na kumfariji baada ya mtoto wake Rubani Ashraf Abdallah Juma kupata ajali ya na ndege nchini Comoro mwishoni mwa mwezi februari,2022. (Picha na CCM Makao Makuu)
Jeshi : Dkt. Samia: Tumeweka heshima, ujenzi Makao Makuu Ngome
-
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema makao makuu ya ulinzi ni
alama ya ukomavu wa kielelezo cha uwezo wa Taifa katika kupanga na
kutekeleza...
1 hour ago
0 Comments