Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Alhaj Zuberi Ali Maulid akimkabidhi Vyakula kwa Mwakilishi wa Nyumba ya Wazee Sebleni Unguja, wakati wa hafla ya Futari maalum iliyoandaliwa na Benki wa CRDB Tawi la Zanzinar, kwa Wateja wa benki hiyo Tawi la Zanzibar iliyofanyika katika viwanja wa Mao Zedung Unguja Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja.
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
10 hours ago
0 Comments