WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida kwa njia ya mitandao kwenye ukumbi wa Palais des Congres, jijini Tunis, Tunisia Agosti 27, 2022. Mheshimiwa Majaliwa amemshukuru Waziri Mkuu wa Japan kwa misaada ambayo nchi yake inaipatia Tanzania ili kuleta unafuu kwenye maisha ya Watanzania. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Nishati : Miradi Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia Ikamilike kwa Wakati - Dkt.
Mataragio
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia,
Dkt. James Mataragio, ameitaka Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya
Petroli Tan...
4 hours ago
0 Comments