WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Mhe.Jamal Kassim Ali akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt.Stergomena Tax,mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-11-2022.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt.Stergomena Tax akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Mhe. Jamali Kassim Ali, alipofika Ofisini kwake kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-11-2022.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Mhe.Jamal Kassim Ali akiagana na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt. Stergomena Tax, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-11-2022.(Picha na Ikulu)
Kutumia Mifumo ya Kidijitali Kuendeleza Ukuaji wa Mapato ya Taifa
-
Jinsi ETS, Uwekaji Alama ya Mafuta na matumizi ya Takwimu yamebadilisha
mfumo wa uthibitishaji wa mapato nchini Tanzania mwaka huu.
Safari ya mapato ya Tan...
2 hours ago
0 Comments