Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa hisani kati ya Team Samatta na Team Kiba uliofanyika Azam Complex Chamazi Jumanne Juni 20, 2023. Pamoja naye ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe. Mwanahamisi Munkunda (shati jekundu) Mkurugenzi wa Michezo katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Neema Msitha (kushoto) na Mwandaaji wa shughuli hiyo Bi. Doris Mollel, kulia.
MAADILI YA RAMADHAN YAHIMIZWA KUDUMISHWA MBEYA
-
Na Mwandishi Wetu, Mbeya
MKUU wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda, amewahimiza viongozi wa dini ya
Kiislamu kuendelea kusimamia na kuimarisha maadili kwa wa...
2 minutes ago




















0 Comments