Kikosi cha Timu ya Taifa ya wanawake Zanzibar chini ya umri wa miaka 18 wakiwa katika mazoezi hapo Dar es Salaam ambapo wataanza na mchezo wao wa kwanza wa CECAFA ya wanawake siku ya Alkhamis Julai 27 2023 saa 12.00 jioni dhidi ya Uganda
WAZIRI MKUU ASISITIZA AMANI, MAADILI NA USHIRIKIANO NA TAASISI ZA DINI
-
-Asema taasisi za dini nguzo ya maadili na amani nchini
-Aonya migogoro ya ardhi inaweza kuvuruga mshikamano wa Taifa
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba...
2 minutes ago

0 Comments