Wachezaji wa Timu ya Jamhuri kutoka Kisiwani Pemba wakiwa katika mazoezi baada ya kuwasili Unguja kwa ajili ya Mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League" na Timu ya Kundemba unaofanyika leo jioni katika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja.
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
10 hours ago







0 Comments