Meneja wa Shirika la Bima la Taifa (NIC ) Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Masoud akimzawadi zawadi wa shilingi laki tano Mchezaji Bora wa Mechi Kati ya JKU na Singida Elvis Rupia, kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo kwa kufunga mabao mawili katika mchezo huo uliofanyika jana usiki katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida imeshinda kwa mabao 4-1.
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
2 hours ago

0 Comments