Balozi wa Umoja wa Ulaya,anaewakilisha umoja huo hapa nchini, Christine Grau (kulia) akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Senga Gugu juu ya masuala mbalimbali yanayohusu ushirikiano katika masuala ya kudhibiti uhalifu.Kikao hicho kimefanyika Makao Makuu ndogo ya wizara jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
SOUWASA YANG’ARA KITAIFA YASHIKA NAFASI YA PILI KWA UTOAJI HUDUMA ZA MAJI.
-
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Songea (SOUWASA) imeendelea
kudhihirisha ubora wake katika utoaji wa huduma baada ya kushika nafasi ya
pili...
1 hour ago
.jpg)
.jpg)
0 Comments