Balozi wa Umoja wa Ulaya,anaewakilisha umoja huo hapa nchini, Christine Grau (kulia) akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Senga Gugu juu ya masuala mbalimbali yanayohusu ushirikiano katika masuala ya kudhibiti uhalifu.Kikao hicho kimefanyika Makao Makuu ndogo ya wizara jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
WATUMISHI WIZARA YA MADINI NA TAASISI ZAKE WAHAMASISHWA KUFANYA MAZOEZI
-
• Mazoezi yajenga afya, mahusiano na tija kazini
• Ushirikiano wa taasisi waimarishwa kupitia michezo
• Eng. Samamba asisitiza uwajibikaji na uadilifu kusu...
29 minutes ago
.jpg)
.jpg)
0 Comments