Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpongeza Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndugu Stephen Wasira, mara baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 18 Januari, 2025.(PICHA NA CCM )
Elimu : Mkenda Azindua Bodi Mpya ya TCU, Asisitiza Uimarishaji wa Usimamizi
na Uthibiti Ubora wa Elimu ya Juu
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameielekeza
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuendelea kusim...
10 hours ago

0 Comments