Mshambuliaji wa Timu ya Azam Feisal Salum (Feitoto) akijiandaa kupita beki wa Timu ya KMKM wakati wa mchezo wao wa Kombe la Shirikisho mchezo uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, katika mchezo huo timu ya Azam imeshinda bao 2-0.
WAFANYAKAZI TUME YA UTUMISHI WA UMMA, WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA
NGORONGORO.
-
Watumishi wa ofisi ya Rais Tume ya Utumishi wa Umma, leo Februari 4,
wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Hamisa H. Kalombola,
wametembele...
3 hours ago









0 Comments