Mshambuliaji wa Timu ya Junguni na beki wa timu ya Uhamiaji wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ mchezo uliyofanyika leo 20-10-2025 Uwanja wa Mao Zdung.Timu ya Uhamiaji imeshinda mchezo huo kwa bao 4-0.
MBUNGE KILOMBERO ATOA POLE KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO, APOKEA MSAADA WA
MAGODORO, CHAKULA.
-
Mbunge wa Jimbo la Kilombero, Abubakari Asenga, ametoa pole kwa wananchi wa
jimbo hilo waliokumbwa na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua
zinazoend...
14 minutes ago









0 Comments