WAZIRI
wa Maji,Nishati na Madini Zanzibar Mhe.Nadir Abdullatif Alwardy akiondoa
pazia na Naibu Waziri wa Elimu na
Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Khadija Salum Ali (kushoto) kuashiria kuweka
Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Skuli ya Sekondari Tunguu Wilaya ya Kati Unguja,
ufunguzi huo uliyofanyika leo 24-12-2026, ikiwa ni shamrashamra za maadhimisho
ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar
WAZIRI
wa Maji,Nishati na Madini Zanzibar Mhe.Nadir Abdullatif Alwardy akiondoa
pazia na Naibu Waziri wa Elimu na
Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Khadija Salum Ali (kushoto) kuashiria kuweka
Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Skuli ya Sekondari Tunguu Wilaya ya Kati Unguja,
ufunguzi huo uliyofanyika leo 24-12-2026, ikiwa ni shamrashamra za maadhimisho
ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar.WAZIRI
wa Maji,Nishati na Madini Zanzibar Mhe.Nadir Abdullatif Alwardy akikapa utepe
kuifungua Skuli ya Sekondari Tunguu na (kushoto kwake) Naibu Waziri wa Elimu na
Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Khadija Salum Ali (kulia kwake)Mkuu wa Wilaya ya
Kati Unguja Mhe.Rajab Ali Rajab,ufunguzi huo uliyofanyika leo 24-12-2025 ikiwa ni
shamrashamra za maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
WAZIRI
wa Maji,Nishati na Madini Zanzibar Mhe.Nadir Abdullatif Alwardy akizungumza na
Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari Tunguu wakati akitembelea maabara ya Bioloji
baada ya kuifungua skuli hiyo leo 24-12-2025, ikiwa ni shamrashamra za
maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar



















0 Comments