Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza waombelezaji
kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho Marehemu Jenista Joakim
Mhagama katika Kanisa Katoliki Parokia ya Kiwanja Cha Ndege,Jimbo Kuu Dodoma,
tarehe 13 Desemba, 2025 jijini Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na
waombelezaji mara baada ya ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la
Peramiho Marehemu Jenista Joakim Mhagama katika Kanisa Katoliki Parokia ya Kiwanja
Cha Ndege, Jimbo Kuu Dodoma, tarehe 13 Desemba, 2025 jijini Dodoma.

.jpeg)
.jpeg)
0 Comments