Mchezaji wa Timu ya Mpendae akijaribu kiwapita wachezaji wac Timu ya Good Morning wakati wa mchezo wao wa Ligi Mpira wa Kikapu Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Mpendae imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 55-20.
WAWAKILISHI NA WAKUU WA TAASISI ZA UCHUKUZI WAWASILISHA MADA SIKU YA PILI
,MKUTANO WA 18 JTSR-ARUSHA
-
Mkutano wa 18 wa pamoja wa mapitio ya Sekta ya Usafirishaji(JTSR)
umeendelea siku ya pili tarehe 16 Desemba, 2025 katika ukumbi wa AICC
Jijini Arush...
5 minutes ago









0 Comments