Mchezaji wa Timu ya Mpendae akijaribu kiwapita wachezaji wac Timu ya Good Morning wakati wa mchezo wao wa Ligi Mpira wa Kikapu Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Mpendae imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 55-20.
VIKWAZO VITANO VISIVYO VYA KIKODI VYAPATA UFUMBUZI MPAKA WA TUNDUMA/NAKONDE
KUCHOCHEA BIASHARA ZA KIMATAIFA KUSINI MWA AFRIKA
-
Vikwazo vitano visivyo vya kikodi kati ya kumi vilivyokuwa vikisababisha
msongamano mkubwa wa malori na usumbufu kwa wafanyabiashara na
wasafirishaji katik...
5 minutes ago









0 Comments