Mchezaji wa Timu ya Mpendae akijaribu kiwapita wachezaji wac Timu ya Good Morning wakati wa mchezo wao wa Ligi Mpira wa Kikapu Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Mpendae imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 55-20.
JAB YAKEMEA UVUNJAJI WA SHERIA ZA AJIRA KATIKA SEKTA YA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya...
5 hours ago









0 Comments