Mchezaji wa Timu ya Malindi akimiliki mpira akijiandaa kumpita beki wa Timu ya New King, katika mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2-25 /2026 mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya New King imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
2 hours ago









0 Comments