Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe.Dkt,Riziki Pembe Juma akizungumza na Wajumbe wa Kamati mbalimbali za Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 , wakati wa hafla za uvunjaji wa Kamati mbalimbali za NMB Mapinduzi Cup 2026 na kukabidhiwa Ripoti ya Michuano hiyo iliyomalizika hivi karibuni na kupatikana Bingwa wa NMB Mapinduzi Cup Timu ya Yanga katika mchezo wa Fainali uliyofanyika Uwanja wa Gombani Pemba kuibuka mshindi kwa kuifunga Timu ya Azam,hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya New Amaan Complex Zanzibar.
CAMFED yaandika Historia ya kuwawezesha wasichana kielimu na Uchumi Tanzania
-
Na Farida Mangube Morogoro
Katika hatua ya kuimarisha nafasi ya mtoto wa kike katika elimu na uchumi
wa Taifa, Shirika lisilo la kiserikali la CAMFED lim...
37 minutes ago






0 Comments