Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe.Dkt,Riziki Pembe Juma akizungumza na Wajumbe wa Kamati mbalimbali za Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 , wakati wa hafla za uvunjaji wa Kamati mbalimbali za NMB Mapinduzi Cup 2026 na kukabidhiwa Ripoti ya Michuano hiyo iliyomalizika hivi karibuni na kupatikana Bingwa wa NMB Mapinduzi Cup Timu ya Yanga katika mchezo wa Fainali uliyofanyika Uwanja wa Gombani Pemba kuibuka mshindi kwa kuifunga Timu ya Azam,hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya New Amaan Complex Zanzibar.
TARI Naliendele yashauri wakulima wa korosho kufuata hatua hizi kuleta tija
uzalishaji wa korosho nchini
-
Na Anne Robi, Mtwara
WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wamewaasa wakulima kuanza kuandaa
mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu na muhimu katika kul...
3 hours ago






0 Comments