Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) anayesimamia Utawala na Udhibiti wa Ndani, Dkt. Rahma Salim Mahfoudh, amewasili katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya BoT jijini Dar es Salaam, ambapo amepokelewa na Gavana wa BoT, Bw. Emmanuel Tutuba, pamoja na viongozi waandamizi wa Benki Kuu, tayari kwa kuanza kutekeleza majukumu yake mapya.
TRA YAZINDUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA MASUALA YA FORODHA
KWA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua dawati maalum la uwezeshaji
biashara za Forodha kwa wafanyabiashara wa Kariakoo pekee ili kuharakisha
upatikanaj...
11 hours ago
.jpeg)
.jpeg)

0 Comments