Waziri wa Fedha na Mipango Juma Malik Akili akisisitiza jambo wakati akizungumza na Wahasibu,Wakaguzi na Washauri Elekezi alipofanya ziara katika Taasisi hio Amani Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Juma Malik Akili akizungumza na Wahasibu,Wakaguzi na Washauri Elekezi wakati alipofanya ziara katika Taasisi hio Amani Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Juma Malik Akili (KULIA)akipatiwa Maelezo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Wahasibu,Wakaguzi na Washauri Elekezi CPA Ame Burhan Shadhil wakati alipofanya ziara katika Taasisi hio Amani Zanzibar.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk Hamad Omar Bakari(KUSHOTO)akipatiwa Zawadi ya Saa yenye Picha yake na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wahasibu,Wakaguzi na Washauri Elekezi Juma Amour Mohamed wakati alipofanya ziara katika Taasisi hio Amani Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Juma Malik Akili akizungumza na Wahasibu,Wakaguzi na Washauri Elekezi wakati alipofanya ziara katika Taasisi hio Amani Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Juma Malik Akili (KUSHOTO)akipatiwa Zawadi ya Saa yenye Picha yake na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wahasibu,Wakaguzi na Washauri Elekezi Juma Amour Mohamed wakati alipofanya ziara katika Taasisi hio Amani Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Juma Malik Akili (KULIA)akipatiwa Maelezo na Mkutubi wa Taasisi ya Wahasibu,Wakaguzi na Washauri Elekezi Talha Hamad wakati alipofanya ziara katika Taasisi hio Amani Zanzibar.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wahasibu,Wakaguzi na Washauri Elekezi CPA Juma Amour Mohamed akitoa hotuba ya makaribisho katika Mkutano na Waziri wa Fedha na Mipango Juma Malik Akili wakati alipofanya ziara katika Taasisi hio Amani Zanzibar.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk Hamad Omar Bakari akizungumza kuhusiana na Utekelezaji wa Majukumu ya Wahasibu katika Mkutano na Waziri wa Fedha na Mipango Juma Malik Akili wakati alipofanya ziara katika Taasisi ya Wahasibu,Wakaguzi na Washauri Elekezi Amani Zanzibar.
Baadhi ya Wageni Waalikwa na Wahasibu ,Wakaguzi na Washauri waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri wa Fedha na Mipango Juma Malik Akili wakati alipofanya ziara katika Taasisi ya Wahasibu,Wakaguzi na Washauri Elekezi Amani Zanzibar.
0 Comments