6/recent/ticker-posts

Puma Energy Tanzania Yafutarisha Wadau Zanzibar

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania Bi.Fatma Abdallah akizungumza na kutowa maelezo kuhusiana na huduma zinazotolewa na kampuni yake wakati wa hafla ya Iftar maalumu iliyoandali Puma Energy Tanzania katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar. 6-3-2026.

MKUU wa Idara ya Mahusiano na Sheria Kampuni ya Puma Energy Tanzania Emmanuel .G.Bakitana akizungumza na kuwakaribisha wageni waalikwa Viongozi na Wananchi katika hafla ya Iftart iliyoandaliwa na kampuni yake kwa Wadau wa Puma Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”Unguja Jijini Zanzibar.6-3-2026.

MGENI Rasmin Waziri wa Maji,Nishati na Madini Zanzibar Mhe.Nadir Abdullatif Al-Wardy, akiwa katika ukumbi wa Hotel I ya GoldenTulip Zanzibar na viongozi mbalimbali na wananchi katika hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania kwa wadau wao.6-3-2026.

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzinia Bi.Fatma Abdallah (katikati) akiwa na Viongozi na Wananchi katika hafla ya Iftar iliyoandaliwa na kampuni Puma Energy, iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.6-3-2026.

KIKUNDI cha Shajaratul Mubarak wakisomo Qasida maalumu wakati wa hafla wa Iftar iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania iliyofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Goldentulip Zanzibar Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.

WAZIRI wa Maji,Nishati na Madini Zanzibar Mhe.Nadir Abdullatif Al-Wardy akijumuika na viongozi na wananchi katika hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania, iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.6-3-2026.

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania Bi.Fatma Abdallah (kulia kwake) Mhe. Tabia Maulid Mwita,  wakijumuika na Viongozi mbalimbali na Wadau wa  Puma Zanzibar katika hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.6-3-2026. 

WAGENI Waalikwa katika Iftar iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania wakipata futari iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya GoldenTulip Zanzibar Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.6-3-2026. 



NAIBU Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Muusa Wadi akizungumza na kutowa nasaha zake watika wa hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya GoldenTulip Zanzibar Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”Unguja Jijini Zanzibar.6-3-2026.  


MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania Bi.Fatma Abdallah akizungumza na kutowa maelezo kuhusiana na huduma zinazotolewa na kampuni yake wakati wa hafla ya Iftar maalumu iliyoandali Puma Energy Tanzania katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar. 6-3-2026.

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania Bi.Fatma Abdallah akizungumza na kutowa maelezo kuhusiana na huduma zinazotolewa na kampuni yake wakati wa hafla ya Iftar maalumu iliyoandali Puma Energy Tanzania katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar. 6-3-2026.

WAZIRI wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar Mhe.Nadir Abdullatif  Al-Wardy akizungumza na kutowa nasaha zake wakati wa hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania kwa Wadau wake Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”Unguja Jijini Zanzibar.6-3-2026.

WADAU wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania wakifuatilia hutuba ya mgeni rasmin Waziri wa Maji,Nishati na Madini Zanzibar Mhe.Nadir Abdullatif Al-Wardy, baada ya kumalizika kwa hafla ua Iftar iliyoandaliwa na Puma Energy Tanzania katika ukumbi wa  Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.6-3-2026.



MUWAKILISHI wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania Ndg.Ali Rashid akitowa neno la shukrani kwa niaba ya Uongozi wa Puma Energy Tanzania, baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftar iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.6-3-2026. 



Post a Comment

0 Comments