Habari za Punde

MSAADA WA MADESKI SKULI YA MAUNGANI.



MENEJA WA BENKI YA TAIFA YA BIASHARA TAWI LA ZANZIBAR RAJAB MAALUM KULIA AKIMKABIDHI MSAADA WA MADESKI MWENYEKITI WA KAMATI YA MAENDELEO YA SKULI YA MAUNGANI HASSAN ALI MZEE KUSHOTO IKIWA NI MSAADA KWA BENKI HIYO KWA KWA SKULI HIYO MAKABIDHIANO HAYO YAMEFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA SKULI HIYO MAUNGANI JANA.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.