Habari za Punde

KARUME, SHEIN NA MAALIM SEIF KWENYE BARAZA LA EID


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaji DK Amani Abeid Karume, akibadilishana mawazo na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pia Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein (katikati) na Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, ambae pia ni mgombea Urais kupitia CUF (kulia) mara baada ya kulihutubia Baraza la Idd el Fitri katika viwanja vya jumba la Wananchi Forodhani leo.

Picha na Ramadhan Othman

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.