Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) alipokuwa akizungumza na
watendaji wa Ofisi za Serikali Mkoa wa Kusini Unguja, katika mkutano
wa majumuisho uliofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar
Tunguu jana ,baada ya kumaliziki kwa ziara katika Mkoa huo
Baadhi ya Viongozi na watendaji katika ofisi
mbali mbali za Mkoa wa Kusini Unguja,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa na
mazungumzo na watendaji hao katika mkutano wa majumuisho ya ziara
aliyoifanya katika Mkoa wa Kusini Unguja,mkutano huo ulifanyika jana
katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu,Wilaya ya Kati
Unguja.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
No comments:
Post a Comment