MKURUGENZI wa Baraza la Manispaa Zanzibar, Rashid Ali Juma (kulia), akitia saini mkataba wa ujenzi wa taa za barabarani katika mji wa Zanzibar na mwakilishi kutoka Serikali ya Jamhuri ya watu wa China, Xie Dan.Mkataba huo ulitiwa saini makao makuu ya Baraza hilo Malindi mjini Zanzibar jana.(Picha na Ghaitha Mzee).
TASAC YANUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UKOAJI TANGA NA KIGOMA
-
Kaimu Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
(TASAC) Mhandisi Said Kaheneko akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana
na u...
8 hours ago
0 Comments