Habari za Punde

Manispa yatiliana Saini ya Ujenzi wa Taa Barabarani na China.

MKURUGENZI wa Baraza la Manispaa Zanzibar, Rashid Ali Juma (kulia), akitia saini mkataba wa ujenzi wa taa za barabarani katika mji wa Zanzibar na mwakilishi kutoka Serikali ya Jamhuri ya watu wa China, Xie Dan.Mkataba huo ulitiwa saini makao makuu ya Baraza hilo Malindi mjini Zanzibar jana.(Picha na Ghaitha Mzee).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.