MKURUGENZI wa Baraza la Manispaa Zanzibar, Rashid Ali Juma (kulia), akitia saini mkataba wa ujenzi wa taa za barabarani katika mji wa Zanzibar na mwakilishi kutoka Serikali ya Jamhuri ya watu wa China, Xie Dan.Mkataba huo ulitiwa saini makao makuu ya Baraza hilo Malindi mjini Zanzibar jana.(Picha na Ghaitha Mzee).
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment