MKURUGENZI wa Baraza la Manispaa Zanzibar, Rashid Ali Juma (kulia), akitia saini mkataba wa ujenzi wa taa za barabarani katika mji wa Zanzibar na mwakilishi kutoka Serikali ya Jamhuri ya watu wa China, Xie Dan.Mkataba huo ulitiwa saini makao makuu ya Baraza hilo Malindi mjini Zanzibar jana.(Picha na Ghaitha Mzee).
Habari : Rais Samia Awataka Watanzania kuwa Wazalendo, Wakajiandikishe
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - Chamwino Dodoma
RAIS wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ameboresha taarifa zake za mpiga kura
katika Kijiji Chamwino Ikulu, h...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment