MKURUGENZI wa Baraza la Manispaa Zanzibar, Rashid Ali Juma (kulia), akitia saini mkataba wa ujenzi wa taa za barabarani katika mji wa Zanzibar na mwakilishi kutoka Serikali ya Jamhuri ya watu wa China, Xie Dan.Mkataba huo ulitiwa saini makao makuu ya Baraza hilo Malindi mjini Zanzibar jana.(Picha na Ghaitha Mzee).
Airtel Divas Mwanza Watoa Msaada kwa Kituo cha Watoto Yatima katika
Jitihada za Kuisaidia Jamii
-
MWANZA, Machi 28, 2026.
KUNDI la wafanyakazi wanawake wa Airtel Tanzania mkoani Mwanza siku ya
Jumamosi walitembelea kituo cha watoto yatima kilichopo Bus...
5 hours ago
0 Comments