MKURUGENZI wa Baraza la Manispaa Zanzibar, Rashid Ali Juma (kulia), akitia saini mkataba wa ujenzi wa taa za barabarani katika mji wa Zanzibar na mwakilishi kutoka Serikali ya Jamhuri ya watu wa China, Xie Dan.Mkataba huo ulitiwa saini makao makuu ya Baraza hilo Malindi mjini Zanzibar jana.(Picha na Ghaitha Mzee).
TUNAKUJA TENA KUOMBA RIDHAA KWA KUJIAMINI NA UJASIRI MKUBWA- DK SAMIA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Zanzibar
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu
Hassan amesema kuelekea Uchaguzi Mkuu Okto...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment