Habari za Punde

Dk Shein atembelea kituo cha utafiti wa ufugaji wa samaki Vietnam

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na ujumbe wake pamoja na Uongozi wa Taasisi ya Ufugaji wa samaki,chini ya Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Dr.Phan Thi Van,(katikati) wakiwa katika mpicha ya pamoja baada ya kupata taarifa za Tafiti za ufugaji wa Samaki zilizotolewa na Mkurugenzi huyo,wakati wa ziara ya Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,ulipotembelea katika Taasisi hiyo nchini Vietnam.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Dr.Phan Thi Van,(katikati) wakipanda mti baada ya kupata taarifa za Tafiti za ufugaji wa Samaki zilizotolewa na Mkurugenzi huyo,wakati wa ziara ya Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,ulipotembelea katika Taasisi hiyo nchini Vietnam,ikionesha ishara ya uhusiano na ushirikiano kwa nchi hizo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Dr.Phan Thi Van,(kulia)baada ya kupiga picha ya pamoja baada ya kupata taarifa za Tafiti za ufugaji wa Samaki zilizotolewa na Mkurugenzi huyo,wakati wa ziara ya Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,ulipotembelea katika Taasisi hiyo nchini Vietnam
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi wa Serikali ya Mapinduzi ya ZanzibarAbdilah Jihadi Hassan,akiuliza suala baada ya kutolewa taarifa za Tafiti za ufugaji wa Samaki zilizotolewa wakati wa ziara ya Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibarulipotembelea katika Taasisi hiyo nchini Vietnam,
 
[Picha na Ramadhan

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.