Habari za Punde

Bi Kidude atunukiwa nishani


Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete,akimtunuku Nishani ya Sanaa na Michezo Bi Fatma Baraka Khamis,(Kidude) kupitia Basaza katika sherehe za kutunuku nishani mbali mbali katika viwanja vya Ikulu Dar des Salaam,katika kusherehekea maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru wa Tanganyika
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Bi Fatma Baraka Khamis,(Kidude) baada ya kutunukiwa nishani ya Sanaa na Michezo na Rais wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete,(kulia) katika sherehe za kutunuku Nishani .

[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.