Hapari tulizozipata sasa wakati tukisali sala ya Adhuhuri katika Msikiti wa Rahaleo kupitia Kiongozi wa Msikiti huo ametowa Taarifa ya Kufariki Shekh. Nassor Bachu, kilichotokea leo huko mjini Dar-se-Salaam, Shekh Bachu alikuwa akisumbulia na maradhi kwa kipindi kirefu sasa.
Maziko yanatarajiwa kufanyika kesho katika msikiti wa Rahaleo saa nne, kwa mujibu wa taarifa ya watu wa karibu na marehemu.
Mwenyezi mungu amlaze pema peponi
Ameen!!!
ReplyDeleteInna Lillahi Wainna ilayhi Rajiuun.
ReplyDeleteYa Rabbi Mpe safari ya nyepesi, umpe Kauli thabit, umuondoshee mchanga mzito katika kaburi lake shekhe wetu, umkutanishe na waja wako wema aendako. Ya Rabbi wape Subira wafiwa.
Ya Rabbi tupe na sisi tuliobakia safari njema na Kauli Thabit. Amin
Inna lillahi waina ilayhi Rajiunna, mauti ni faradhi lakini kifo hiki kinaniuma sana, kama nilipofiwa na baba yangu, kwa kweli sheikh huyu sijaona mfanowe hapa visiwani na hofu yangu kwamba tayari zanzibar tumeshampoteza mwanazuoni mkubwa katika zama hizi na pengo lake litakuwa shida kuzibika.
ReplyDeleteamiin yarabbi inna lillahi wainna ilayhi rajiuun
ReplyDelete