Watia Nia Nafasi za Ubunge na Uwakilishi Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Wachukua Fomu za Kugombea Nafasi Hizo
-
KATIBU wa CCM Wilaya ya Mfenesini, Veronica Ndaro, akimkabidhi Mihayo Juma
Nhunga, fomu ya kuwania uwakilishi wa jimbo la Mwera.
KATIBU wa CCM Wilaya ya M...
43 minutes ago
mnasema nchi yetu haina ubaguzi kidini , mbona hatujaona akina JK, bilal , sefu iddi au sheni kwenda kumjulia hali huyu mtu , bila ya shaka ni polisi ambao ni watu wa serikali wamemjeruhi ndio maana hawataki kuonyesha sura zao kwa huyu mtu waliempiga. Jee mnamhukumu kuwa ni adui wakati hamna ushahidi kuwa huyu ni adui tanzania?
ReplyDelete