Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
15 hours ago
1 Comments
mnasema nchi yetu haina ubaguzi kidini , mbona hatujaona akina JK, bilal , sefu iddi au sheni kwenda kumjulia hali huyu mtu , bila ya shaka ni polisi ambao ni watu wa serikali wamemjeruhi ndio maana hawataki kuonyesha sura zao kwa huyu mtu waliempiga. Jee mnamhukumu kuwa ni adui wakati hamna ushahidi kuwa huyu ni adui tanzania?
ReplyDelete