Vitambulisho Vipya vya JAB Vyarejesha Heshima ya Taaluma ya Habari
-
Na Mwandishi Wetu, JAB
Vitambulisho vipya vya kidijitali vinavyoendelea kutolewa na Bodi ya
Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) vimepokelewa kwa furaha ...
9 hours ago
mnasema nchi yetu haina ubaguzi kidini , mbona hatujaona akina JK, bilal , sefu iddi au sheni kwenda kumjulia hali huyu mtu , bila ya shaka ni polisi ambao ni watu wa serikali wamemjeruhi ndio maana hawataki kuonyesha sura zao kwa huyu mtu waliempiga. Jee mnamhukumu kuwa ni adui wakati hamna ushahidi kuwa huyu ni adui tanzania?
ReplyDelete