Habari za Punde

PBZ Yakabidhi Fulana kwa Ajili ya Sherehe za Miaka 51 ya Mapinduzi

Kaimu Mkurugenzi Uendeshaji na Utumishi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Ndg, Haji Ame, akitowa shukrani kwa Uongozi wa Benki ya Watu wa Zanzibar kwa kukabidhi Fulana mia tano kwa ajili ya sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi hiyo Vuga Zanzibar.
Kaimu Mkurugenzi Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ndg Seif Suleiman, akizungumza wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi fulana 500 kwa ajili ya sare ya kusherehekea miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar, yatakayoadhimishwa 12,Jan 2015 katika viwanja vya Amaan Zanzibar.
Kaimu Mkurugenzi Masoko wa PBZ,Ndg. Seif Suleiman, akionesha moja ya fulana zilizotolewa na PBZ, kwa ajili ya kusherehekea sherehe za kutimia miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika viwanja vya Amaan Zanzibar.  
Kaimu Mkurugenzi Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Ndg Seif Suleiman, akimkabidhi moja ya fulana 500 zilizotolewa na PBZ kwa Kaimu Mkurugenzi Uendeshaji na Utumishi Ndg Haji Ame, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Vuga. 
Kaimu Mkurugenzi Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Ndg Seif Suleiman, akimkabidhi moja ya fulana 500 zilizotolewa na PBZ kwa Kaimu Mkurugenzi Uendeshaji na Utumishi Ndg Haji Ame, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Vuga. 
Kaimu Mkurugenzi Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Ndg Seif Suleiman, akimkabidhi moja ya fulana 500 zilizotolewa na PBZ kwa Kaimu Mkurugenzi Uendeshaji na Utumishi Ndg Haji Ame, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Vuga. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.