Habari za Punde

Mjengo mpya wa hospital Zenj uliofunguliwa hivi karibuni na kuanza kutoa huduma ya Afya kwa Wananchi wa Zenj

2 comments:

  1. Kaka Othman hebu tuulizie huduma zipi hasa zunatolewa hapo na gharama zake. Sisi wanyonge Wa mungu tunataka kuomba mungu hapo asaa allah akatupa shifaa kupitia hapo. Tumechoka na matibabu mabovu kutoka kwa madaktari na wauguzi wasio na maadili ya kazi zao.

    ReplyDelete
  2. mdao hapo juu umechekesha sana. tatizo la znz hata watu binafsi wakifungua hospitali zao madaktari na wauguzi ni walewale wa mnazi mmoja. hivyo huna pa kuwakwepa. unaweza kukuta daktari mmoja wa kigeni waliobakia ni wale wa mnazi mmoja wanakwenda hapo kama part time.

    nadhani jambo la msingi kama wanasoma hapa hawa madaktari wabadilike. wasijione kama miungu watu na kusumbua wananchi.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.