Serikali Yazindua Mtumiaji App Kuimarisha Mawasiliano na Kulinda Watumiaji
Nchini
-
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Agellah Jasmine Kairuki,
amezindua rasmi mfumo wa kidijitali wa kuhudumia watumiaji wa huduma za
mawasili...
3 hours ago
2 Comments
Kaka Othman hebu tuulizie huduma zipi hasa zunatolewa hapo na gharama zake. Sisi wanyonge Wa mungu tunataka kuomba mungu hapo asaa allah akatupa shifaa kupitia hapo. Tumechoka na matibabu mabovu kutoka kwa madaktari na wauguzi wasio na maadili ya kazi zao.
ReplyDeletemdao hapo juu umechekesha sana. tatizo la znz hata watu binafsi wakifungua hospitali zao madaktari na wauguzi ni walewale wa mnazi mmoja. hivyo huna pa kuwakwepa. unaweza kukuta daktari mmoja wa kigeni waliobakia ni wale wa mnazi mmoja wanakwenda hapo kama part time.
ReplyDeletenadhani jambo la msingi kama wanasoma hapa hawa madaktari wabadilike. wasijione kama miungu watu na kusumbua wananchi.