Habari za Punde

Dk Shein, Awafariji Ndugu wa Marehemu Asha Bakari.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwasili katika msiba wa Marehemu Asha Bakari Makame jangambe kutowa mkono wa Pole akisalimiana na Viongozi wa Chama na Serikali na Ndugu wa Marehemu.  
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akitowa mkono wa pole kwa Ndugu wa Marehemu Asha Bakari Makame alipofika kutowa mkona wa pole na kuwafariji wafiwa. nyumbani kwao Jangombe leo asubuhi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akijumuika na Viongozi na Ndugu wa marehemu kumuombea dua alipofika kutowa mkono wa pole kwa Jamaa wa Marehemu Jangombe Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akimpa mkono wa pole Mama wa Marehemu Asha Bakari Makame alipofika kuwafariji na kutowa mkono wa pole Jangombe.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akiwafariji watoto wa Marehemu na ndugu.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimfariji Mama wa Marehemu Asha Bakari Makame alipofika kutowa mkono wa pole leo asubuhi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akimfariji Baba Mzazi wa Marehemu Asha Bakame Makame Mzee Bakari Makame alipofika nyumbani kwake Jangombe kutowa mkono wa pole leo asubuhi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Ndugu wa marehemu wakati alipofika kutowa mkono wa pole na kuwafariji wafiwa. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Ndugu wa marehemu wakati alipofika kutowa mkono wa pole na kuwafariji wafiwa. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.