Habari za Punde

Serikali Imewataka Wananchi Kufuatilia Mabadiliko ya Hali ya Hewa.

Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla akizungumza na viongozi mbali mbali wa Serikali, katika kikao cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, juu ya Tamko la Serikali kufuatia mabadiliko ya hali ya Hewa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar,Mhe:Mohamed Aboud Mohamed akizungumza na watendaji mbali mbali wa serikali kisiwani Pemba, juu ya Tamko la Serikali kufuatia mabadiliko ya hali ya Hewa
 Maafisa Wadhamini Kutoka ofisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, wakimsikiliza kwa makini Waizri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, Mhe:Mohamed Aboud Mohamed wakati alipokuwa akitoa tamko la Serikali juu ya Masuala ya Maafa kwa watendaji wa Serikali Kisiwani Pemba
Masheha wa Shehia mbali mbali za Mkoa wa kusini Pemba, wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, Mhe:Mohamed Aboud Mohamed wakati alipokuwa akizungumza na watendaji mbali mbali wa Serikali kisiwani Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.