'LEO HATUKUPATA ABIRIA', GARI aina ya Isuzu inayofanya safari zake baina ya Ukutini na mjini Chakechake wastani wa kilomita 20 ikiwa inaondoka mjini Chakechake kwenda kijiji cha Ukutini ili kukamilisha safari ya mwendo mmoja wa kuwasafirisha wananchi kutoka kijijini huko hadi mjini Chakechake,kwa nauli kati ya shilingi 1000 na shilingi 15,000 (Picha na Haji Nassor, Pemba)
NCHI ZA AFRIKA ZAJADILI KUKUZA MAPATO YA NDANI KUEPUKA UTEGEMEZI WA MISAADA
NA MIKOPO KUTOKA NJE
-
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C
Nchi 14 za Afrika za Sub-Sahara za Kundi la Kwanza ambazo ni wanachama wa
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), zimekubal...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment