'LEO HATUKUPATA ABIRIA', GARI aina ya Isuzu inayofanya safari zake baina ya Ukutini na mjini Chakechake wastani wa kilomita 20 ikiwa inaondoka mjini Chakechake kwenda kijiji cha Ukutini ili kukamilisha safari ya mwendo mmoja wa kuwasafirisha wananchi kutoka kijijini huko hadi mjini Chakechake,kwa nauli kati ya shilingi 1000 na shilingi 15,000 (Picha na Haji Nassor, Pemba)
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment