Habari za Punde

Bado Inapeta ila leo haikupata Abiria

'LEO HATUKUPATA ABIRIA', GARI aina ya Isuzu inayofanya safari zake baina ya Ukutini na mjini Chakechake wastani wa kilomita 20  ikiwa inaondoka mjini Chakechake kwenda kijiji cha Ukutini ili kukamilisha safari ya mwendo mmoja wa kuwasafirisha wananchi kutoka kijijini huko hadi mjini Chakechake,kwa nauli kati ya shilingi 1000 na shilingi 15,000  (Picha na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.