'LEO HATUKUPATA ABIRIA', GARI aina ya Isuzu inayofanya safari zake baina ya Ukutini na mjini Chakechake wastani wa kilomita 20 ikiwa inaondoka mjini Chakechake kwenda kijiji cha Ukutini ili kukamilisha safari ya mwendo mmoja wa kuwasafirisha wananchi kutoka kijijini huko hadi mjini Chakechake,kwa nauli kati ya shilingi 1000 na shilingi 15,000 (Picha na Haji Nassor, Pemba)
WAAJIRI WATAKIWA KUWEKA UTARATIBU WA KUWAPATIA MAFUNZO WAFANYAKAZI WAO ILI
KULETA TIJA SEHEMU ZA KAZI
-
15 Septemba 2025, ARUSHA
Waajiri nchini wametakiwa kuweka utaratibu wa kuwajengea uwezo watumishi
wao kwa kuwapatia mafunzo mara kwa mara yatakayowawezesha...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment