Habari za Punde

Mgombea wa ADC, Hamad Rashid apiga kura Wawi , Pemba

 MGOMBE Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe:Hamad Rashid Mohamed, akiwasili katika skuli ya Wawi kwa ajili ya kupiga kura katika Uchaguzi mkuu wa Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WAZIRI wa nchi Ofisi ya Mkamo wa pili wa rais wa Zanzibar Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, akisalimiana na Mgombea Urais kupitia Chama cha ADC Mhe:Hamad Rashid Mohamed wakati walipokutana katika kutuo cha kupigia kura skuli ya Wawi Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe: Hamad Rashid Mohamed, akitumbukiza karatasi yake ya upigaji wa kura ya Urais  katika sanduku maalumu la kupigia kura.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe:Hamad Rashid Mohamed, akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupiga kura katika kituo cha skuli ya Wawi Jimbo la Wawi kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.