Habari za Punde

Mradi wa kuwahamasisha wanafunzi kupenda kusoma vitabu kisiwani Pemba

 MWANAFUNZI wa Skuli ya Mwambe Shamiani Msingi akiwaimbisha wenzake nyimbo, wakati wa utekelezaji wa mradi wa kuwahamasisha wanafunzi kupenda kusoma vitabu unaoendeshwa na maktaba kuu Pemba kupitia ufadhili wa SIDA.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
 WANAFUNZI wa skuli ya Mwambe Shamiani msingi wakisoma vitabu walivyopatiwa na wakutubi wa maktaba kuu ya Pemba, wakati wa utekelezaji mradi wa uhamasishaji wanafunzi kupenda kusoma vitabu,unaoendeshwa na maktaba kuu Pemba kupitia ufadhiliwa na SIDA.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
 MMOJA wa wanafunzi wa skuli ya Mwambe Shamiani Msingi, akiwasomea wenzake kitabu cha hadithi alichopewa na mkutubi wa maktaba kuu ya Pemba, wakati wa uhamasishaji wanafunzi kupenda kusoma vitabu, Programa hizo zilizofadhiliwa na SIDA.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)

 WANAFUNZI wa skuli ya Mwambe Shamiani Msingi wakishindana katika kazi ya uchoraji wa picha, ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa SIDA unaondeshwa na Maktaba kuu ya Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
WANAFUNZI wa skuli ya Mwambe Shamiani Msingi wakishindana katika kazi ya uchoraji wa picha, ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa SIDA unaondeshwa na Maktaba kuu ya Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.