Balozi wa Samsung Tanzania,Aisha Saki(katikati) akiwaelezea jambo wateja waliotembelea uzinduzi wa simu ya Samsung Galaxy S7 Mlimani City jijini Dar es Salaam.Kulia ni mabalozi na wenzake.
Balozi wa Samsung Tanzania,Aisha Saki(kulia) akimuelekeza jambo mteja katika kipeperushi alipotembelea uzinduzi wa simu ya Samsung Galaxy S7 Mlimani City jijini Dar es Salaam.Kulia ni mabalozi wenzake wakizungumza na wateja.
Balozi wa Samsung Tanzania,RhodaIddy(kulia) akimkabidhi mteja simu ya Samsung Galaxy S7 baada ya kuinunua mara baada ya uzinduzi wa simu hiyo uliofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Samsung Tanzania,Neema Mziray (katikati) akiwaelezea jambo wateja kuhusu ubora wa simu ya Samsung Galaxy S7 mara baada ya uzinduzi uliofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Samsung Tanzania,Neema Mziray (katikati) akiwaelezea jambo wateja kuhusu ubora wa simu ya Samsung Galaxy S7 mara baada ya uzinduzi uliofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Samsung Tanzania,Neema Mziray (kushoto) akimuonyesha mjeta Gear VR inavyoweza kufanya kazi kwa kutumia simu ya Samsung Galaxy S7 mara baada ya uzinduzi uliofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Samsung Tanzania,Neema Mziray (kushoto) akimuonyesha mjeta Gear VR inavyoweza kufanyakazi kwakutumia simu ya Samsung Galaxy S7 mara baada ya uzinduzi uliofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Samsung Tanzania yazindua Simu ya
Galaxy S7
KAMPUNI ya
Samsung nchini Tanzania imezindua simu mpya ya Samsung Galaxy S7 Mlimani City
jijini Dar es Salam.
Akizungumza
na waandishi wa habari Meneja mafunzo wa bidhaa za Samsung, Julius Giabe mara
baada ya uzinduzi alisema simu ya Samsung Galaxy S7 ni toleo jipya ambalo kwa
sasa inapatikana madukani kote nchini.
Amewaomba
watanzania wajitokeze kununu simu hiyo yenye ubora wa hali ya juu kwani
imeboreshwa zaidi kulingana na tekinolojia ya sasa.
Alisema Julius Samsung Galaxy S7 imeboreshwa zaidi
kwenye upande wa Camera kwani ina Mega Pixel 12 zilizoboreshwa zaidi kiasi
ambacho unaweza kupata picha au Video nzuri zaidi.
Kioo chake
kizuri cha kuvutia na inazuia vumbi na Maji kwa muda wa dakika 30 ndani y maji.
Julius
alisema, Samsung Galaxy S7 inakaa na chaji kwa muda mrefu sana na hata ikiisha
chaji inauwezo wa kuichaji bila kuchomeka kwenye Umeme(Wireless charging)
Julius
alimaliza kwa kuwaomba watanzania tusikose kumiliki simu ya Samsung Galaxy S7 ukakosa
mambo mazuri katika teknolojia hii ya kisasa ambayo Dunia yote iko Kiganjani
mwako.
Kwa wakazi
wa Dar es Salaam tutembelee Mlimani City ambapo promosheni ya Samsung Galaxy S7
inaendelea,upate kwa undani ubora wa simu hiyo.
“Kuwa wa
kwanza kumiliki simu ya Samsung Galaxy S7”.
No comments:
Post a Comment