Wananchi wa sehemu mbalimbali za Zanzibar na wageni waliofika Zanzibar wakiwa katika viwanja vya bustani ya forodhani wakisubiri kuukaribisha mwaka mpya na kuuaga mwaka 2016 katika viwanja hivyo kwa kupata vyakula mbalimbali vya kizanzibar katibu bustani hiyo. Usiku huu.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment