Wananchi wa sehemu mbalimbali za Zanzibar na wageni waliofika Zanzibar wakiwa katika viwanja vya bustani ya forodhani wakisubiri kuukaribisha mwaka mpya na kuuaga mwaka 2016 katika viwanja hivyo kwa kupata vyakula mbalimbali vya kizanzibar katibu bustani hiyo. Usiku huu.
Mama Malema awatakia kheri Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, na Mgombea mwenza
Dkt Emmanuel Nchimbi, wagombea wa CCM Uchaguzi Mkuu Tanzania
-
Mwanachama na kada wa muda mrefu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mama
Jacqueline Malema Daniel, ametuma salamu za kheri na pongezi kwa wagombea
wote wa chama...
37 minutes ago

No comments:
Post a Comment