Wananchi wa sehemu mbalimbali za Zanzibar na wageni waliofika Zanzibar wakiwa katika viwanja vya bustani ya forodhani wakisubiri kuukaribisha mwaka mpya na kuuaga mwaka 2016 katika viwanja hivyo kwa kupata vyakula mbalimbali vya kizanzibar katibu bustani hiyo. Usiku huu.
Ujenzi wa Barabara ya Songea–Lutukira Kuinua Uchumi na Usalama wa Usafiri
Ruvuma
-
Belinda Joseph- Ruvuma.
Ujenzi wa Barabara ya Songea–Lutukira yenye urefu wa Km 95.1 pamoja na
Bypass ya Songea yenye Km 16, unatarajiwa kuleta manuf...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment