MWAKILISHI wa shirika la kimataifa la UNESCO na Mfuko kwa
ajili ya kuwaendeleza wanahabari Tanzania TMF, Kiondo Mshana (mwenye suti),
akisalimiana kwa mtindo wa kukumbatiana na Meneja wa Redio Jamii Mkoani Pemba,
Ali Abass Omar, wakati mwakilishi huyo alipofika hapo kuzungumza na Meneja
huyo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MWAKILISHI wa shirika la kimataifa la UNESCO na Mfuko kwa
ajili ya kuwaendeleza wanahabari Tanzania TMF, Kiondo Mshana (kulia),
akizungumza na Meneja wa Redio Jamii Mkoani Pemba, Ali Abass Omar, mazungumzo
hayo yalifanyika kituoni hapo Mkanyageni Mkoani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).MWANDISHI wa habari wa shirika la Magazeti ya serikali kisiwani Pemba, Haji Nassor, akiwafahamisha waandishi na watangaazaji wa Redio Jamii Mkoani, jinsi ya kupata habari za kila siku ndani ya wilaya hiyo, (Picha na Ali Suleiman, Pemba).
No comments:
Post a Comment