Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Makamo wa Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Korea KOICA Bw.Wooyong Chung akiwa na ujumbe aliofuatana nao walipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana,[Picha na Ikulu.]10/01/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza na Ujumbe wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Korea KOICA unaoongozwa na Makamo wa Rais wa Shirika hilo Bw.Wooyong Chung (wa pili kulia) mara walipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana,[Picha na Ikulu.]10/01/2017.
No comments:
Post a Comment