Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Visiwani Dkt Ali Mohamed Shein wa kwanza kushoto akizungumza na viongozi wa UVCCM kushoto Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka na Naibu Katibu Mkuu UVCCM Tanzania Zanzibar Ndg.Abdulhafar Idrissa Juma Ikulu mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt Ali Mohammed Shein pamoja na kaimu katibu mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Visiwani Dkt Ali Mohammed Shein akiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Ndg.Shaka Hamdu Shaka wa kwanza kushoto pamoja na Naibu Katibu Mkuu UVCCM Tanzania Zanzibar Ndg.Abdulhafar Idrissa Juma wa kwanza kulia mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Visiwani Dkt Ali Mohammed Shein akiagana na kaimu katibu mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu mjini Zanzibar.(Picha na Ikulu )
No comments:
Post a Comment