Habari za Punde

Rais wa Zanzibar Dk Shein Azindua Skuli ya Sekondari ya Kwarara Zanzibar Shamrashamra za Kusherehekea Mapinduzi ya Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na  Balozi wa Korea Kusini Bw.Song Geumyoung wakati alipofika Kwarara kuzindua Skuli ya Sekondari na Kituo cha Elimu ya Habari  leo,iliyojengwa kwa Ushirikiano  wa Serikali na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA),Ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar,(katikati) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma na (kulia) Makamo wa Rais wa KOICA -Korea Bw,Chung Wooyong
Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na  Waziri wa Elimu,Sayansi,Teknolojia na Ufundi Prof.Joyce Lazaro Ndalichako wakati alipofika Kwarara leo kuzindua Skuli ya Sekondari na Kituo cha Elimu ya Habari ,iliyojengwa kwa Ushirikiano  wa Serikali na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA),Ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono Wanafunzi na Wananchi waliohudhuria katika uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Kwarara na Kituo cha Elimu ya Habari  leo,iliyojengwa kwa Ushirikiano  wa Serikali na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA),Ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar,(kushoto) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma na (kulia)Waziri wa Elimu,Sayansi,Teknolojia na Ufundi Prof.Joyce Lazaro Ndalichako.
Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuizindua  Skuli ya Sekondari ya Kwarara na Kituo cha Elimu ya Habari  leo,iliyojengwa kwa Ushirikiano  wa Serikali ya Mapinduzi na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA) ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa   Skuli ya Sekondari ya Kwarara na Kituo cha Elimu ya Habari  leo,iliyojengwa kwa Ushirikiano  wa Serikali ya Mapinduzi na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA),kiwa ni katika shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar (kushoto) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee, akifuatiwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma,wakiwepo na Ujumbe wa Koica
Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) pamoja na Viongozi aliofuatana nao wakipata maelezo kutoka kwa Fatuma Ahmed,wakati alipotembelea Chumba cha Studio baada ya kufanya uzinduzi wa   Skuli ya Sekondari ya Kwarara na Kituo cha Elimu ya Habari katika Skuli hiyo  leo,iliyojengwa kwa Ushirikiano  wa Serikali ya Mapinduzi na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA),kiwa ni katika shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein ( wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa ICT Omar Said Ali wakati alipotembelea sehemu mbali mbali za Studio katika Kituo cha Elimu ya Habari  akiwa na Viongozi aliofuatana nao baada ya  kuzindua rasmi   Skuli ya Sekondari ya Kwarara na Kituo cha Elimu ya Habari  leo,iliyojengwa kwa Ushirikiano  wa Serikali ya Mapinduzi na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA),kiwa ni katika shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Baadhi ya wanafunzi waliohudhuria katika sherehe za uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Kwarara na Kituo cha Elimu ya Habari  leo,iliyojengwa kwa Ushirikiano  wa Serikali ya Mapinduzi na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA),kiwa ni katika shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar, wakifuatilia kwa makini harakati zinazoendelea katika hafla hiyo iliyofanyika leo

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.