Habari za Punde

Mahafali ya 29 Kidatu Cha Sita Shule ya Sekondari ya Al-Haramain Jijini Dar es Salaam.

Wahitimu wa kidato cha sita wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, wakiingia kwenye ukumbi wa mahafali wakati wa mahafali yao ya 29, jijini Dar es Salaam jana.(Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shue ya Sekondari ya Al Haramain, Hairat Hashim akisoma Qur'an katika mahafali hayo.
Mwanafunzi Mohammed Fauz wa shule hiyo, akitoa mawaidha wakati wa mahafali hayo.
Mwalimu wa Nidhamu katika shule hiyo, Mwalimu Omar Hamad, akiwaongoza wanafunzi wa kidato cha tatu kughani kaswida wakati wa mahafali hayo ya 29, jijini Dar es Saaam jana.
Wanafunzi wa kidato cha tatu wakipiga dufu na kughani kaswida wakati wa mahafali hayo ya 29, jijini Dar es Saaam jana.
Rais mstaafu wa Serikali ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, mhitimu wa kidato cha sita, Hassan Hamisi akizungumza wakati wa mahafali hayo.
Rais mpya wa Serikali ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, mwanafunzi wa kidato cha tano, Salim Mruta, akitoa shukrani zake kwa wahitimu, wakati wa mahafali hayo.
Imam wa Msikiti wa Al Haramain, Sheikh Issa Kalunga, akitoa dua wakati wa mahafali hayo.
Wahitimu wa kike wa kidato cha sita wa shule hiyo, wakiwa kwenye ukumbi wa mahafali yao hayo jana. 
Mwanafunzi wa kidato cha tano wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Omar Rajab, akisoma Qur'an katika mahafali hayo.
Mwanafunzi wa kidato cha tano wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Ally Athumani akitoa tafsiri ya Qur'an iliyosomwa katika mahafali hayo.
Baadhi ya wazazi na walezi wa wahitimu wa kidato cha sita, wakiwa kwenye ukumbi wa mahafali hayo, wakifuatilia matukio mbaimbali yaliyokuwa yakifanyika ukumbini humo.
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwalimu Nuh Jabir (wa pili kushoto), akiwa na baadhi ya walimu viongozi katika meza kuu katika mahafali hayo. Kushoto ni Mwalimu wa Taaluma, Mwalimu Rashid Kassim.
Hali ya ukumbi ulivyokuwa wakati wa mahafali hayo.
Wanafunzi wa kidato cha tano wa shule hiyo, Mwajuma Ahmad (kushoto) na Husna Khalid wakighani utenzi mbele ya mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka.
Mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka (katikati, mwenye simu), akiwa meza kuu pamoja na Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir (kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al- Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa.
Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir, akimkaribisha Mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka (kushoto kwake) pamoja na kutambulisha walimu viongozi kwenye meza kuu. Kulia ni Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al- Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa na kushoto ni Mwalimu wa Taaluma, Mwalimu Rashid Kassim.
Mhitimu wa kidato cha sita, Hassan Hamis (kushoto), akisoma risala ya wahitimu. Kulia anayemsaidia ni Waziri Hassan.
Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al- Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa, akizungumza wakati wa mahafali ya 29 ya kidato cha sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain. Kushoto ni Mgeni rasmi katika mahafali hayo, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka.
Wahitimu wa kidato cha sita, Yusra Said (kushoto) na Raiyan Hassan wakighani utenzi mbele ya mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka.
Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir, akisoma taarifa ya shule kwa Mgeni rasmi katika mahafali hayo ya 29 ya kidato cha Sita, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka (kulia), wakati wa mahafali hayo. Kushoto ni Mwalimu wa Taaluma, Mwalimu Rashid Kassim.
Mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka, akizungumza na wahitimu hao, wakati wa mahafali hayo, jijini Dar es Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir na kulia ni Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al- Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa.
Mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha Kiongozi Bora, mhitimu Khadija Mashaka, wakati wa mahafali hayo, jijini Dar es Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti Mwanafunzi Bora katika somo la Geography, mhitimu Mussa Baruti, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Hawa Gulamu, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Raiyani Hassan, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Sada Said, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Yusra Said, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Zaudia Ibrahim, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Bakari Gogoro, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Hassan Hamisi, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Israfil Ramadhani, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Kibeku Ramadhani, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.