Habari za Punde

KAMISHNA WA VIBALI NA PASI AONGOZAWAFANYAKAZI WA IDARA YA UHAMIAJI KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO YA BIASHARAYA KIMATAIFA YA SABASABA

Kamishna wa Vibali na Pasi nchini, Musanga Etimba akitoa maelezo kwa mwananchi Oliver  Gabriel,  aliyetembelea Banda la Idara ya Uhamiaji katika Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere bara bara ya Kilwa, jijini  Dar esSalaam
Mwananchi aliyetembelea Banda la Idara ya Uhamiaji, Bi.Oliver Albert akiuliza maswali kwa Kamishna wa Vibali na Pasi nchini, Bi.Musanga Etimba baada ya kutembelea Banda la Idara hiyo katika Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere bara bara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mdhibiti wa Pasipoti nchini, Mrakibu Mwandamizi Peter Mwitwa
Mkaguzi wa Idara ya Uhamiaji nchini,Ndg. Mustafa Kipingu (kushoto), akitoa huduma kwa mwananchi aliyetembelea Banda la Idara hiyo katika Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere bara bara ya Kilwa, jijini  Dar es Salaam
Mrakibu Msaidizi wa Idara ya Uhamiaji, Kitengo cha Uhusiano Ndg. Aziz Kirondomara (kushoto) ,akitoa huduma kwa mwananchi aliyetembelea Banda la Idara hiyo katika Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere bara bara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. 
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.